Monday, 19 August 2013

Ndoto

46. Ndoto yako haitakufa mpaka utakapokufa. Usikate tamaa, kabisa!

http//www.facebooc.com/koloniasantita

1 comment:

  1. Unaweza kuishi milele lakini pia unaweza kufa kesho. Usikate tamaa. Waotaji waliozifanyia kazi ndoto zao bila ya kujali maneno ya wapinzani wao, walitengeneza kila kitu kinachokuzunguka. Ukiishi kulingana na ndoto zako utapata nafasi ya kudharau kila mtu, utachukiza wengi. Geuka ukifika mwisho wa njia. Huo ndio mwanzo wa njia nyingine.

    ReplyDelete

Roho Yako

289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...