16. Kitu cha kwanza kufanya kama umeamua kuficha ukweli wape watu ukweli mwingine.
http://www.facebook.com/koloniasantita
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
- 
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
 - 
Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Jerusalem, Israeli, Kanali Daniel ‘Yehuda Ben-Asher’ Ebenezer, Daniel Yehuda, alikuwa komandoo wa kit...
 

John Murphy akifikiria aokoke vipi alipotekwa na katibu muhtasi wa Panthera Tigrisi Maria Cosillas Ortega, katika mazingira ya kutatanisha.
ReplyDeleteKitu cha kwanza kufanya kama umeamua kuficha ukweli wape watu ukweli mwingine kulinda thamani ya utu wako.
ReplyDeleteUongo usingekuwepo dunia isingekuwa kama ilivyo sasa na ni dhambi tuliyoirithi kutoka kwa grandparents wetu Adam na Hawa. Jaribu kufikiria kama serikali zetu zingekuwa zinasema ukweli kwa kila kitu kinachofanyika? Kusingekuwepo na utulivu.
ReplyDeleteSerikali haziwezi kusema kweli kwa kila kitu kwa sababu ya kuogopa kuwapanikisha watu.
ReplyDeleteUongo ni kitu cha muhimu katika maisha yetu kama ulivyo ukweli.
ReplyDeleteLying is part of our DNA.
ReplyDeleteNakubaliana na wewe hapo kk Maregesi. Mtu anaweza kudanganya kwa sababu ya rushwa au vitisho na kwa maana hiyo uongo ukamsaidia, japokuwa unaweza usiwasaidie waliomtisha au waliompa rushwa.
ReplyDelete