17. Kufanikiwa katika maisha ni kuwa tayari muda wowote kujitoa mhanga kwa ajili ya kitu unachoweza kuwa.
http://www.facebook.com/koloniasantita
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
Roho Yako
289. Roho yako inatoka wapi? Ya kwangu inatoka Tanzania. Kwa sababu amani na utulivu ndivyo vitu vya muhimu zaidi katika maisha yangu. ...
- 
KITENDAWILI CHA KOLONIA SANTITA Shilingi milioni moja za Kitanzania kushindaniwa ndani ya miezi sita kuanzia leo Swali: Kila namba ...
 - 
Mpelelezi wa Tume ya Dunia kutoka Jerusalem, Israeli, Kanali Daniel ‘Yehuda Ben-Asher’ Ebenezer, Daniel Yehuda, alikuwa komandoo wa kit...
 

You’ve got to be ready to die for what you can be.
ReplyDeleteUkishagundua destiny yako tumia chochote ulichonacho kuweza kuifulfil.
ReplyDeleteKulingana na takwimu mbalimbali huku Magharibi na sehemu zingine, asilimia kubwa ya waliofanikiwa walijitolea mengi katika maisha yao kufika hapo walipo - asilimia ndogo ikiwa kwa wale waliorithi mali au waliopata mali kwa njia rahisi kama njia za bahati nasibu, n.k., ambao huishiwa baada ya miaka miwili au mitatu kulingana na takwimu hizo. Badala ya kufanya unachojisikia kufanya (au kufanya vitu rahisi), kwa nini usijitahidi kwa kadiri ya uwezo wako kufanya usivyojisikia kufanya, kwa lengo la kufanikiwa? Watu wamejitolea pesa na muda kupata elimu na kuishi vizuri.
ReplyDeleteUkitaka kuwa mchezaji mzuri wa mpira wa miguu kwa mfano, panga ratiba ya kila siku na kuizingatia – hata kama hujisikii kufanya mazoezi!
ReplyDeleteKwa vile tulizaliwa kwenye dhambi tutasacrifice mengi kuishi vizuri!
ReplyDelete